Skip to content

Shuhuda za wamisionari

Karibu! Soma shuhuda halisi za wamisionari waliopo kazini juu ya mahangaiko yao, Imani zao, ushindi wao. Furahia

Unaweza soma kwenye jarida letu la AfriTwende pamoja na makala, kupata hamasa na habari nyingi zaidi hapa. Bonyeza hapa kupata nyenzo kuwafikia majirani zako wa kiislamu.

Je unatiwa moyo Kwenda na kutumika? Wasiliana na moja ya mashirika hapo chini kwa taarifa zaidi kwenye hatua zifuatazo au tembelea ukurasa wetu wa Future Missionaries page kwa taarifa zaidi.

Tafadhali wasiliana nasi ikiwa  una habari ya kushirikisha.

“Nilijihisi dhaifu” - nyakati za wamishenari

"Kuzingatia wito" - nyakati za wamishenari

"Mungu alituma malaika wake kufanya matengenezo” - nyakati za wamishenari

“Kujawa wasiwasi, malalamiko na shaka” - nyakati za wamishenari

“Alikuwa ni jasiri na ujasiri” - nyakati za wamishenari

“Ikiwa hawali nyani, basi hatuwezi kuwa na Mungu wao.” - nyakati za wamishenari

"Aliondoa kifuniko cha kichwa chake" - nyakati za wamishenari

"Alikusanya hirizi zake" - nyakati za wamishenari

"Nimekuwa mkimbizi kwa miaka minane" - nyakati za wamishenari

"Nataka kurudi mafunzoni na kufundishwa"- nyakati za wamishenari

Courageous Tanzanian Advocates for missionaries

Je, unataka kuwa misionari? Tafadhali tuma baruapepe kwenda: afritwende@afrigo.org