Skip to content

Kundi la watu: Wabaka

Watu wa kabila la Wabaka wa kusini-mashariki mwa KamerunI ndio kundi kubwa zaidi kati la Mbilikimo kadhaa waliotawanyika kote Afrika ya Kati. Mbilikimo wana kimo kidogo, likiwa na wanaume watu wazima wasiozidi sentimita 155.

Wabaka wanaabud...

Read More

Mbuzi na vitunguu saumu kwa ajili ya injili

Purple Horizon ndio jina la shamba letu. ‘Zambarau’ hurejelea mti maalum unaogeuka zambarau kila Oktoba na umuhimu wake kama mahali pa sala. Pia inawakilisha ukuu wa Bwana Yesu. ‘Horizon’ inarejelea uwezekano usio na kikomo kwa Waafrika wa...

Read More

Kuelekea makanisa yenye nia ya umisheni zaidi

Agizo moja ambalo kanisa linapaswa kukumbuka ni Mt. 28:19: “Kwa hiyo enendeni mkafanye wanafunzi kutoka katika mataifa yote, mkiwabatiza katika jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.”

Kanisa linaloenda haliko kwenye jengo lake t...

Read More

Kumwezesha mshirika wako kuingia katika umisheni

Nairobi Chapel ni kanisa kubwa lenye nia ya umisheni nchini Kenya. Wametuma wamishenari 31 na timu 33 za muda mfupi na wana matokeo katika nchi 16. Faith Mugera, mchungaji wa umisheni, anashirikisha mawazo sita ambayo wameanzisha ili kuratibu prog...

Read More

Moyo wa Mchungaji, Itikio la Kanisa

Baba yake alikuwa wa imani ya Kibaha’i na alifanya uuguzi. Alidai kuponya watu na kumtayarisha mtoto wake kufuata nyayo zake. Kwa bahati mbaya, hakuweza kujiokoa kutokana na ugonjwa uliomwua.

“Baada ya baba yangu kufa, niliona uwezo wa ...

Read More

Mchungaji: Wakili wa Umisheni

Kusudi la Mungu la ukombozi lililotimizwa katika Kristo Yesu na kuenezwa na mitume linabaki kuwa kazi ya Kanisa hadi Kristo atakaporudi. Wakati kanisa linapoelewa hili, kila kitu kinabadilika. Hapa ndipo penye jukumu la wachungaji kuhakikisha kwam...

Read More

Nenda kwa kasi zaidi ya upepo kama ilivyosimuliwa

Hebu fikiria kundi la vijana motomoto katika safari ya umisheni kwenda kwenye kundi la watu ambao ha wajafikiwa kusini mwa Angola. Wana kaa kwa mwezi mmoja, wakihubiri, wakivunja vifungo, na kuwapatanisha wanakijiji na Muumba wao. Hatimaye, ni wak...

Read More

Mchungaji ni Ufunguo

Miaka michache iliyopita, kanisa moja lilinialika kuzungumza juu ya umisheni kwa siku mbili nyakati za usiku. Nilifurahi, lakini nilikuwa na hisia mchanganyiko. Ni watu wangapi wangejitokeza kwenye kongamano la umisheni siku ya Jumatano usiku? Kwa...

Read More