Skip to content

Makundi la Watu: Wabeja wa Eritrea, Sudan, na Misri

Kabila la Wabeja ni kundi la watu wanaohamahama ambao wamekuwa wakiishi katika nchi za Sudan, Eritrea, na Misri kwa zaidi ya miaka 4,000. Katika historia yao, waliukubali Uislamu na asilimia 99 ni Waislamu. Wanatekeleza Uislamu wa mchanganyiko na ...

Read More

Matamanio ya Dhati kwa Mama

Miaka mingi iliyopita, Elkana Chubugu kutoka Ntaza, alimkiri Bwana kupitia Wamisheni na akakua katika Imani. Aliendelea kukua katika safari yake ya kutembea na Bwana Yesu Kristo akiwa Mwinjilisti na kiongozi wa Kanisa mlei katika Kijiji chake na v...

Read More

Wito wa Umishenari na Wasiwasi wa Familia

Umeitwa kutumika kama mmishenari, lakini wasiwasi wa kifamilia kukuvuta unatishia kwenda njia nyingine. Je, unatokaje kwenye hiyo njiapanda? Tumekusanya ushauri kutoka kwa viongozi wa umisheni ili kushughulikia baadhi ya masuala ya kawaida ya fami...

Read More

Mambo yawa Mazuri kwa Reagan

Regani alikuwa hajawahi kutoka nje ya mji wa Kumasi. Siku ambayo Reagan alipanda basi kutoka Kumasi kuelekea eneo la umisheni mbali na nyumbani kwao ilikuwa siku ya kipekee. Alipofika Tamale, aligundua kwamba basi la kwenda Gbintre lilisafiri mara...

Read More

Nimeitwa: Ralambo Tiffanie Siko Mpweke Tena

Nilitiliwa shaka nilipowasili kwa mara ya kwanza kama mmishenari hapo Kisiwani. Sikujua kwamba baadhi ya wanawake wa Kimalagasi ambao waliofika kabla yangu. Ilikuwa vigumu kuishi nikiwa msichana mmishenari wa Kimalagasi ambaye hajaolewa. Nilipata ...

Read More

Tafutu Uwiano

Familia ni ya muhimu sana kwa Waafrika. Ukiondoa familia, sisi tunajiona sio watu. Familia zetu zenye wazazi na watoto na zile za wazazi, watoto na ndugu wengine zimeunganishwa, na hali hii mara nyingi huamua maamuzi mengi tunayofanya. Je, hili li...

Read More

Makundi ya Watu: WWW

4.1 MKs

Watoto wa Wamishenari, wanaojulikana kama WWW, wamekuwa sehemu ya historia ya umisheni tangu zama za Umisheni wa Kisasa ulipoanza mwishoni mwa miaka ya 1700. Lakini hadi miongo ya hivi karibuni, sifa zao za kipekee  na majukumu yao ya kipekee  y...

Read More

Watoto wa wamishenari wa Afrika mashariki

Wongel Mulugeta Wongel  (Injili) Zeleke, William Cary, Ephrem Getachew – haya ni majina ya baadhi ya watoto wa wamishenari wetu (WWW) ambao wanawakilisha ujumbe wa injili na maisha ya wamishenari. Kupitia majina ya watoto wao, wamishenari w...

Read More