Makundi ya Watu: WWW
Watoto wa Wamishenari, wanaojulikana kama WWW, wamekuwa sehemu ya historia ya umisheni tangu zama za Umisheni wa Kisasa ulipoanza mwishoni mwa miaka ya 1700. Lakini hadi miongo ya hivi karibuni, sifa zao za kipekee na majukumu yao ya kipekee y...
Read MoreWatoto wa wamishenari wa Afrika mashariki
Wongel Mulugeta Wongel (Injili) Zeleke, William Cary, Ephrem Getachew – haya ni majina ya baadhi ya watoto wa wamishenari wetu (WWW) ambao wanawakilisha ujumbe wa injili na maisha ya wamishenari. Kupitia majina ya watoto wao, wamishenari w...
Read MoreSafari yangu kama mama wa WWW
Mimi na mume wangu tuna wasichana wawili, Blessing na Joy. Wakati tulipokuwa tukijiandaa kuitikia wito wa Mungu wa umisheni wenye mchanganyiko wa tamaduni nchini Thailand, shirika letu lilituarifu kwamba eneo tulilopewa lilikuwa na mwalimu wa shul...
Read MoreKufuatilia kwa makini mapito na mabadiliko ya Watoto Wako
Watoto wa wamishenari ni wahamaji (WWW). Huu ni uhalisia kwa watoto wa familia za kimishenari. WWW huacha nchi zao za asili ambazo kwazo kuna shangazi na wajomba zao, babu, binamu na marafiki na wanafunzi waliosoma pamoja, na kanisa lao lililo...
Read MoreKumbatia watoto wa wamishenari wa Afrika mashariki
Jinsi gani tunaweza kuwakumbatia na kuwalea vyema watoto wa wamishenari wetu katika umisheni? Ni kweli wako katika umisheni, lakini wapo si kwa sababu yao, bali kwasababu ya wazazi wao. Imekuwa ni kawaida kwetu kutoa maelekezo kwao na kutara...
Read MoreTafakari za Mtoto wa Mmishenari
Unaweza kuwafikia Waislamu: rasilimali za kukusaidia
Je unataka kuwafikia Waislamu wanaokuzunguka, lakini unaanzaje? Timu ya AfriTWENDE imetayarisha vitabu, kozi, na video vya kukusaidia.
Shirika la Life Challenge Afrika...
Read MoreTayari kwa ujenzi wa taifa
Afisa mmoja kutoka Sekritarieti ya Jeshi la Kujenga Taifa alishindwa kubadilisha msimamo wa kuruta wawili. Kwa nini mtu ang’ang’anie kuwapeleka watumishi kwenye maeneo ya mbali vijijini wakati kuna nafasi bado kwenye maeneo ya mi...
Read MoreKuwashuhudia Waislamu kwa hekima
1. Hofu na Ujinga: Tafuta kuujua Uislamu kama mfumo, na Waislamu kama watu waliopendwa na Mungu, lakini wamenaswa kwenye mtego wa mfumo wa dini. Ujinga na hofu kutoka kwa Wakristo ndivyo vinavyozuia kazi ya kuwashuhudia Waislamu. Mwislamu atafaham...
Read MoreNeno ambalo halitarudi bure
Akiwa na umri wa miaka 12, mvulana wa kisomali, alikuwa tayari alishajifunza Kurani yote. Aliweka kwenye kumbukumbu sehemu za Kurani kwa Kiarabu, lugha ambayo hata alikuwa hajui maana yake. Alipofikia umri wa miaka 18, alikwenda kuishi na mjomba w...
Read More