Un nouveau défi
Nous avons encore besoin de pionniers ! Comment les églises répondront-elles à l’égard de parties de l’Afrique du Nord sans témoins de l’Évangile ?
SIM a fait ses premiers pas avec des « Paul » qui on...
Read MoreLorsque Dieu m’a appelé
« Appel. » Voilà encore ce mot ! Qui appelle ? Qui est appelé ? Pourquoi même m’occuper d’un « appel » ? Depuis des milliers d’années, pourtant, le Dieu vivant, dans son amour surprenant, appelle des gens à accomplir s...
Read MoreMakundi ya Watu: Watoposa
Watoposa ni jamii ya wakulima na wafugaji wanaoishi Sudani ya Kusini, wanaokadiriwa kufikia idadi ya watu 500,000. Watu hawa wanategemea ng’ombe, kondoo, na mbuzi. Wavulana huchunga mbuzi na kondoo na huacha kuchunga ng’ombe waki...
Read MoreMafunzo ya Umisheni
East Africa School of Mission (EASM) ni chuo kilicho chini ya bodi ya wachungaji ya mafunzo ya utume. Inayotoa mafunzo ya umisheni kuanzia ngazi ya cheti, diploma na shahada. Chuo hiki kilianza 2015 kama shule ya utume ya kwanza nchini Tanzania, m...
Read MoreKumtumikia Mungu Kupitia Taaluma Yako itakuwaje Mungu akikuita kuwa msanifu majengo?
Kwa sababu mahali pa kazi ndipo tunapotumia muda wetu mwingi katika juma, ni fursa nzuri kwa kufanya huduma.
Katika miaka yangu ya kufanya kazi pamoja na wanafunzi, baadhi yao hutaka ushauri wangu wanapokuwa wanaomba na kufung...
Read MoreUjuzi na Stadi: Zana Mikono ya Mungu
Dk. Bode Olanrewaju ni daktari wa mifugo na mmishenari anayefanya kazi na shirika la CAPRO. Anatumia taaluma yake kuwafikia wale walio katika vizuizi wasifikiwe na injili katika sehemu za kaskazi...
Read MoreUjuzi na Stadi Kwa Ajili ya Ibada
Bwana akanena na Musa, na kumwambia, Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda; tena, tazama, nimemchagua, awe pamoja naye, huyo Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila ya Dani; nami nim...
Read MoreMakundi Ya Watu: Wadatooga
Wadatooga ni jina la ujumla kwa makundi ya Jamii moja ya wafugaji wnaohama yenye asili ya Nilotiki, ambao ni Wabarabaig, Wataturu, Rotigenga, Gidang’udiga, Simijiega, Burediga na Dalorajieaga. Watu hawa wanaishi zaidi sehemu ya kas...
Read MoreKozi ya Kairos
Kozi imeandaliwa ili kuelimisha na kutoa changamoto kwa wakristo na kulitia moyo kanisa kuitikia moyo wa Mungu kwa ajili ya umisheni kwa mataifa. Kairos inaelekeza na kuongoza huduma yenye mwamko na yenye maana katika kuvuka mipaka ya tamaduni na ...
Read MoreMpango Wa Umisheni Wa Malawi Unakuza Uinjilisti Wa Kuvuka Mpaka
Makongamano ya kikanda ya wachungaji wenye wito wa kimisheni yaliandaliwa na SIM kwa ushirikiano na Chama cha Kiinjili cha Malawi. Makongamano hayo huchochea hamasa miongoni mwa makanisa ya Malawi kuvuka mpaka kwa ajili ya kuwafikia wengine. Matok...
Read More