Encontre o equilíbrio
A família é fundamental para os africanos, quem somos e como existimos. Se não tivermos família, não somos um povo. As nossas famílias nucleares e alargadas estão interligadas e esta rede muitas vezes determina as decisões que tomamos. A f...
Read MoreOral teaching for discipleship school – developed in Africa
The AfriGO team heard about a new kind of discipleship training happening in Africa – based on learning using oral, rather than written, methods! Shirley Nyasha, Regional coordinator for YWAM’s Discipleship Training School in Southern Africa...
Read MoreUnaweza kuwafikia Waislamu: rasilimali za kukusaidia
Je unataka kuwafikia Waislamu wanaokuzunguka, lakini unaanzaje? Timu ya AfriTWENDE imetayarisha vitabu, kozi, na video vya kukusaidia.
Shirika la Life Challenge Afrika...
Read MoreTayari kwa ujenzi wa taifa
Afisa mmoja kutoka Sekritarieti ya Jeshi la Kujenga Taifa alishindwa kubadilisha msimamo wa kuruta wawili. Kwa nini mtu ang’ang’anie kuwapeleka watumishi kwenye maeneo ya mbali vijijini wakati kuna nafasi bado kwenye maeneo ya mi...
Read MoreBiblia ya kiarabu cha Kichadi yachapishwa
Biblia yote ya Kiarabu cha Kichadi imetafsiriwa na kuchapishwa kwa mara ya kwanza. Kupatikana kwa tafsiri hii ya Biblia kulisherehekewa hapo mwezi Aprili 2021 pamoja na matukio mawili ya kuwekwa wakfu katika mji mkuu wa Chad, N’dja...
Read MoreKuwashuhudia Waislamu kwa hekima
1. Hofu na Ujinga: Tafuta kuujua Uislamu kama mfumo, na Waislamu kama watu waliopendwa na Mungu, lakini wamenaswa kwenye mtego wa mfumo wa dini. Ujinga na hofu kutoka kwa Wakristo ndivyo vinavyozuia kazi ya kuwashuhudia Waislamu. Mwislamu atafaham...
Read MoreNeno ambalo halitarudi bure
Akiwa na umri wa miaka 12, mvulana wa kisomali, alikuwa tayari alishajifunza Kurani yote. Aliweka kwenye kumbukumbu sehemu za Kurani kwa Kiarabu, lugha ambayo hata alikuwa hajui maana yake. Alipofikia umri wa miaka 18, alikwenda kuishi na mjomba w...
Read MoreNinawi yamsubiri kila Mkristo
Umeshawahi kufikiria kwa nini Yona alipata misukosuko yote ya kwenda kuwaonya wakazi wa Ninawi juu ya hukumu, katika mji ambao ulikuwa na wakazi 120,000 tu? Leo inakadiriwa kuwa kuna Waislamu wapata o bilioni 1.8 ulimwenguni kote, am...
Read MoreTumeitwa tumeagizwa kuhubiri injili katika nchi za Afrika ya kaskazini
Kufanya kazi katika Afrika Kaskazini inaweza kuwa ni hatari, na Daudi anajua hili vizuri. Polisi humfuata Daudi anakoenda; wakiwa na wasiwasi na uwepo wa Wakristo. Baadhi ya majirani zake humkejeli na hata wamekuwa wakimtishia kifo.<...
Read MoreKwa nini: tuwafikie Waislamu?
Hivi majuzi niliombwa kufundisha kozi juu ya ‘Ukristo na Dini zingine za Ulimwengu’ katika Taasisi moja ya kitheolojia. Nilipokuwa naandaa somo la kufundisha, nilibahatika kusoma makala iliyoandikwa na kiongozi wa huduma ambaye anawafikia Wais...
Read More