“Ninyi ndiyo wenye hasara” – nyakati za wamishenari

Mzee huyo alijibu hilo kwa kusema ni hasara kwa walimu kwa sababu ni wao ambao wamefika kutokea mbali kufundisha na hawana wanafunzi wa kufundisha. Pole sana kwa walimu. Nilishangaa sana!
-Mmishenari huko Tana River, Kenya